Shirikisho la soka barani Afrika CAF lilitangaza kuivua Zanzibar uanachama wa CAF ikiwa ni miezi minne imepita toka shirikisho hilo liitangaze Zanzibar kuwa mwanachama kamili wa CAF.
Friday, 18 August 2017
PENZI LA UWOYA LILIVYOMPA WAZIMU DOGO JANJA!
MOJA kati ya headline zilizosumbua kwenye mitandao ya kijamii hivi karibuni ni uhusiano wa kimapenzi kati ya chalii wa Ngarenaro-Arusha, Abdulaziz Chende ‘Dongo Janja’ na staa wa sinema za Kibongo, Irene Uwoya.
Labels:
wasanii
WOLPER ADAI KUBADILI WANAUME HAONI SHIDA
WAKATI mashabiki wakiwa bado wanamshangaa staa wa Bongo Muvi, Jacqueline Massawe ‘Wolper’ juu ya tabia yake ya kubadili wanaume kila kukicha, katika hali ya kushangaza, ameibuka na kudai kuwa ataendelea kubadili wapenzi, muda wowote
Labels:
wasanii
RAIS MAGUFULI ATOA ONYO KALI KWA ORODHA HII YA WASANII WAKUBWA TANZANIA

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka wazi kuwa kwa sasa inakula sahani moja na kuwapa kibano kikali mastaa wote
Labels:
habari
NEY WA MITEGO AFUMANIWA NA MKE WA MTU...soma zaidi kupata ukweli

Msanii anayesumbua na Wimbo wa Acheze, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ amedaiwa kukwaa skendo ya kufumaniwa na mpenzi wa
Labels:
wasanii
NAFASI 7 ZA ACCOUNTANT KUTOKA SERIKALINI
ASSISTANT ACCOUNTANT II. – 1 POST
Employer: Tanzania Forest Services (TFS) Agency
Date Published: 2017-08-16
Application Deadline: 2017-08-30
Date Published: 2017-08-16
Application Deadline: 2017-08-30
JOB SUMMARY:
DUTIES AND RESPONSIBILITIES:
Labels:
habari
NEY WA MITEGO,ROMA NDANI YA BIFU NENE

HIT MAKER wa ngoma inayobamba kwa sasa Acheze, Emmanuel Elibariki ‘Nay Wa Mitego’, amesema
Labels:
wasanii
MZUNGU ALIYELETA KEJELI KWA MTANZANIA ARUDISHWA RUMANDE

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Agosti 18, 2017 imemnyima dhamana raia wa Afrika Kusini ambaye ni mhandisi, Menelaos Tsampos, anayetuhumiwa kwa kosa la
Labels:
habari
MAHAKAMA KUPIGA MNADA JENGO LA YANGA LEO
Mahakama imetoa amri ya Jengo la Klabu ya Yanga lililopo mitaa ya Jangwani kunadiwa
Labels:
soka
ALICHOKISEMA MR.NICE JUU YA WATANZANIA DHIDI YA WAKENYA

MWANAMUZIKI wa miondoko maarufu kwa jina la Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), ambaye alijizolea umaarufu miaka ya 2000 na baadaye kupotea kidogo kutokana na sababu za hapa na pale, Lucas Mkenda ‘Mr Nice’ amesema kuwa
Labels:
wasanii
LWANDAMINA ATOA KAULI NZITO KWA SIMBA
KOCHA Mkuu wa Yanga, George Lwandamina amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wao wa Ngao ya Jamii dhidi ya Simba kutokana na mazoezi anayoendelea kuwapa vijana wake katika kambi yao iliyopo Pemba.
Labels:
soka
Subscribe to:
Posts (Atom)