Pages

Subscribe:

Sunday, 7 August 2016

MAANA HALISI YA NDOTO UKIWA UMEKUFA AU MTU UNAE MFAHAMU


Maana ya ndoto ikiwa utaota umekufa wewe au mtu unae mfahamu

Inavyoaminika ndoto huja kuelezea jambo moja kwa moja kama lilivyo au kinyume chake au huelezea kwa njia ya mifano na wakati mungine huja kama fumbo, Kwahiyo ndoto ya kifo ina naana kama ifuatavyo;
       Ikiwa utaota umekufa hii haina maana kua umekufa kweli au umekaribia kufa ila maana yake ni kuharibika (kufa) kwa mipango yako au mambo yako
        Hivyo hivyo ndivyo ilivyo ikiwa utamuota mtu wa karibu yako au mtu unaemjua kua amekufa maana yake ni kama nilivyosema hapo juu kua ni kufa kwa mipango au mambo ya huyo mtu.

0 comments:

Post a Comment