Pages

Subscribe:

Sunday, 22 October 2017

MANCHESTER CITY 3-0 BURNLEY: SERGIO AGUERO AFIKIA REKODI YA KLABU YA KUFUNGA

Sergio Aguero ameifikia rekodi ya muda wote ya kufunga magoli Manchester City kwa penalti ya kipindi cha kwanza wakishinda 3-0 dhidi ya Burnley J'mosi

Friday, 20 October 2017

MOURINHO NA MTIHANI WA KUONGOZA LIGI LEO:, HUDDERSFIELD V MANCHESTER UNITED

Manchester United na Huddersfield watakutana kwa mara ya kwanza baada ya miaka 45.

‘Unga’, tindikali vyawa tishio kwa vijana

Vyanzo na sababu za kuugua saratani ya matiti

SCORPION MTOBOA MACHO KUACHIWA HURU..Soma kwa undani zaidi


Walioshindwa uchaguzi CCM wapinga matokeo

Matokeo ya uchaguzi wa Wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), yamepingwa katika wilaya nne kati ya saba za Mkoa wa Mwanza kutokana na madai ya kugubikwa na vitendo vya rushwa na ukiukwaji wa kanuni za uchaguzi.

UBORA WA UFAULU PSLE 2017 - MIKOA

MATOKEO YOTE DARASA LA SABA KIMKOA YAKO HAPA

NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA

PSLE-2017 EXAMINATION RESULTS

NEMANJA MATIC ASEMA MOURINHO NI KOCHA BORA ZAIDI ALIYEFANYA NAYE KAZI Leah Pauli 07:26 SHIRIKI 0 MAONI

Zitto amlilia Lissu ACT ikimomonyoka

 Wakati kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe akiandika waraka kwa Tundu Lissu, chama chake kimezidi ‘kubomoka’ kwa wanachama wake kukimbilia CCM.

Nyalandu ageuka mwiba sasa kuisaka Katiba mpya bungeni

Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro

Mbunge wa Singida Kaskazini (CCM), Lazaro Nyalandu 

Messi abainika kutumia vidonge vya kusisimua misuli na kuongeza nguvu



Barcelona, Hispania. Lionel Messi ameonekana kitia mdomoni kitu alichokificha katika soksi

Mahakama kutoa uamuzi wa pingamizi kesi ya Mdee, Bulaya



 Mahakama Kuu Oktoba 30,2017  itatoa uamuzi wa pingamizi zilizowasilishwa na upande wa Serikali katika maombi ya wabunge wa Chadema waliosimamishwa kuhudhuria mikutano mitatu ya Bunge

Barrick wameisoma namber, Ushindi mkubwa katika rasilimali madini


Rais John Magufuli akishuhudia mwenyekiti wa
Rais John Magufuli akishuhudia mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi wa kampuni ya Barrick Gold, Profesa John Thornton (wa pili kulia) na waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi (wa pili kushoto) wakitia saini makubaliano ya uwekezaji wa madini katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni ofisa uendeshaji wa kampuni hiyo, Richard William na kushoto ni mmoja wa wawakilishi wa Serikali kwenye mazungumzo hayo, Profesa Florens Luoga.

Thursday, 19 October 2017

FASTA SIMBA YAMTANGAZA MRITHI WA MAYANJA


Ikiwi ni masaa machache tangu kutangaza kujiuzulu kwa aliyekuwa kocha msaidizi wa Simba Jackosn Mayanja Simba imemtangaza Masud Juma kuziba nafasi yake

NEYMAR AAHIDI KUMSAIDIA MBAPPE KUWA SUPASTAA WA PSG... KAMA ALIVYOFUNDISHWA NA MESSI BARCELONA


Nyota huyo wa Kibrazili anataka kumsaidia mchezaji mwenzake kama yeye alivyosaidiwa na supastaa wa Barcelona mwanzoni akiwa Camp Nou

Profesa Kabudi aeleza walichokubaliana na Barrick


Waziri wa Katiba na Sheria, Profesa Palamagamba Kabudi amesema kuwa kampuni ya Barrick imekubali masharti yote ya sheria mpya madini mazungumzo yao.

Mazungumzo ya Serikali, Barrick nchi nyingine kujifunza kutoka Tanzania


Rais John Magufuli amesema mafanikio yaliyofikiwa baada ya kuwepo majadiliano kati ya wataalamu wa Tanzania na wale wa kampuni ya Barrick Gold Mine kuhusu biashara ya madini ya dhahabu yameweka rekodi ya aina yake hatua ambayo inaweza kuzisukuma nchi nyingine za Afrika kuja Tanzania kujifunza namna inavyoweza kujadiliana na wawekezaji wa kigeni na hatimaye kukubaliana.

Kigezo kilichotumika kumfanya Dk Mahiga aongoze ujumbe wa Tanzania mkutano wa Maziwa Makuu




Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Augustine Mahiga
Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Augustine Mahiga .
Waziri wa Mambo ya Nje, Dk Augustine Mahiga ameongoza ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa Saba wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Ukanda wa Maziwa Makuu (ICGLR) akimwakilisha Rais John Magufuli.

Diwani awasilisha Takukuru kifaa alichotumia kurekodi kashfa ya rushwa


Diwani wa Mbuguni, Ahimidiwe Rico akionyesha
Diwani wa Mbuguni, Ahimidiwe Rico akionyesha kifaa anachodai alikitumia kurekodi matukio ya rushwa kabla ya kukiwasilisha Takukuru mkoani Arusha . Kushoto ni diwani wa Sing 'isi, Penzila Palangyo.

CHELSEA YAKAMATWA DARAJANI NA ROMA, MANCHESTER UNITED IKISHINDA UGENINI...Matokeo ya mechi zote yako hapa


Chelsea wamepona kwenye vita kali dhidi ya Roma kupata sare ya 3-3 Ligi ya Mabingwa Darajani Stamford, United, Barca, Bayern, PSG na Juve zikishinda

LWANDAMINA AMEAHIDI KUMFUKUZISHA KIBARUA JOSEPH OMOG


Jackson Mayanja ameshabwaga manyanga Simba, hali inaonekana si shwari klabuni hapo na Lwandamina amepania kuotesha nyasi kibarua cha Omog

Kukaimu muda mrefu kunapunguza ufanisi wa watumishi serikalini


Joseph Alphonce  ni Mtakwimu na Ofisa Mipango.
Kila iitwapo leo watumishi kadhaa wa umma wanaondoka katika nafasi zao za utendaji kwa sababu mbalimbali. Ama kwa kustaafu, kufariki, kusimamishwa, kufukuzwa au ugonjwa wa muda mrefu.

Rushwa inavyowatafuna Vigogo UVCCM


Licha ya sifa nyingi anazomwagiwa Rais John Magufuli katika mapambano ya rushwa na ufisadi, Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) umesema bado lipo tatizo la rushwa nchini.

Mshtakiwa asababisha kesi kuahirishwa baada ya kutapika


Wakili Majura Magafu (kulia) na mawakili
Wakili Majura Magafu (kulia) na mawakili wenzake wakipitia nyaraka mbalimbali kabla ya kesi kuanza kusikilizwa.

Lulu kupanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba


Msanii wa kike wa fani ya uigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael, maarufu Lulu amewasili Mahakama Kuu anakokabiliwa na kesi ya mauaji ya bila kukusudia.

Wednesday, 18 October 2017

Kilichofanya Naibu Spika Dr. Tulia atoe milioni 40 Mbeya

Image result for NAIBU SPIKA TANZANIA



Hii imetoka kwenye jiji la Mbeya ambalo linaongozwa na Amos Makalla kama Mkuu wa mkoa ambapo taarifa ya leo muhusika mkuu ni Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dr. Tulia Ackson.

Barclays imetenga Sh 157milion kwa ajili ya wanafunzi


 Kuongeza ufadhili, Benki ya Barclays Tanzania imetenga Sh157 milioni kwa ajili ya masomo ya wanafunzi 23 wenye mahitaji maalumu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) katika mwaka wa masomo unaoanza 2017.

Museveni asema NRM mabingwa wa vurugu


Takriban mwezi mmoja tangu makomando wa vikosi maalumu walipovamia Bunge na kuwatoa nje wabunge wanaopinga kuondolewa ukomo wa umri wa urais, Rais Yoweri Museveni amesema chama tawala NRM hakitasita kutumia nguvu siku zijazo. 

Kaka wa Lissu aeleza alivyomtoa ICU na alichokisema Lissu


Kaka wa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, Alute Mughwai ameeleza jinsi alivyomtoa mdogo wake chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) na kile ambacho alikisema mara tu baada ya kutoka ndani kwa mara ya kwanza.

Majina yaliyotolewa na HESLB ya wanafunzi waliopangiwa mikopo ..haya hapa


Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq
Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB, Abdul-Razaq Badru
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema baada ya uchambuzi wa maombi ya mikopo ya elimu ya juu kwa mwaka wa masomo 2017/2018, orodha ya awamu ya kwanza yenye wanafunzi 10,196 wa mwaka wa kwanza waliopangiwa mikopo imekamilika.

Polisi wakamata magruneti saba na SMG


Watuhumiwa watano wa uhalifu wameuawa na polisi katika matukio mawili, huku jeshi hilo likisema limekamata mabomu saba ya kurusha kwa mkono (gruneti), SMG iliyofutwa namba, magazini yenye risasi 16, maganda 10 ya risasi za SMG na pikipiki.

Picha za Lissu mtandaoni zaibua hisia


 Picha za Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu zilizoanza kusambaa mitandoni saa kumi jioni leo Jumatano Oktoba 18,2017 zimeibua hisia kutokana na maendeleo ya afya yake.

Figisu Figisu za Madiwani waliojiuzulu Chadema zawaponza kura ya maoni CCM


Arusha. Madiwani watatu wa Chadema waliojiuzulu katika Halmashauri ya Meru mkoani Arusha na kujiunga na CCM,

Tuesday, 17 October 2017

‘Homework’ zinavyodumaza ukuaji wa watoto


Ni kwa kwa sababu hiyo, wazazi hasa wasomi wanaharakisha kuwapeleka shule watoto wenye umri mdogo.

Profesa Kikula sasa asimulia milima na mabonde ya Udom


Profesa Idrisa Kikula amesema ujenzi wa chuo hicho haukuwa katika ilani ya uchaguzi ya CCM, bali lilitokana na wazo la haraka la Rais wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete.

Maelezo ya Mbowe juu ya kiasi kilichotumika katika matibabu ya Lissu na ukakasi wake




Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema gharama za matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu

Aliyeachwa Baraza la Mawaziri afunguka na kutoa kali ya mwaka


 Dodoma. Aliyekuwa Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Anastazia Wambura ameufananisha utumishi wa umma na chombo cha usafiri ambacho abiria hushuka kituoni baada ya kufika na dereva kuendelea na safari.

yaliyojiri baada ya Takukuru kuwahoji madiwani waliojiuzulu Arusha..Ukweli uko hapa


Diwani wa kata ya Mbuguni wilayani Arumeru
Diwani wa kata ya Mbuguni wilayani Arumeru mkoani Arusha, Ahimidiwe Rico aliyerekodi sauti akishawishiwa ajiuzulu nafasi yake kulia akitoka nje ya ofisi za Takukuru mkoani Arusha mara baada ya kuhojiwa leo pembeni yake ni diwani aliyemsindikiza wa kata ya Nkoanenkoli, Wilson Nanyaro,