Pages

Subscribe:

Monday, 16 October 2017

Nyuma ya pazia Binti aliyebakwa na wanaume 3 ndani ya saa moja



Binti wa miaka 17 amevamiwa na wanaume 3 kwa nyakati tofauti ndani ya saa moja kisha 
kubakwa na wanaume hao katika eneo la 
Bethnal Green, London nchini Uingereza.
Imeelezwa kuwa mshichana huyo alikua anarudi nyumbani wakati wa usiku kutoka kwenye
 matembezi yake alipokamatwa na mwanaume wa kwanza na kupelekwa eneo la gizani kisha
 kutendewa kitendo hicho kisha kuachwa na baada ya dakika chache akaja
 mwanaume mwingine kumbaka kabla ya kubakwa na mwanaume mwingine baada ya
 dakika chache tena.
Kwa mujibu wa polisi binti huyo alifanyiwa kitendo hicho mara tatu bila hata kupiga
 kelele kuomba msaada kwasababu inawezekana alileweshwa na madawa hivyo
 kushindwa kabisa kupiga kelele hadi alipokuja kupewa msaada na msamaria mwema.

0 comments:

Post a Comment