Pages

Subscribe:

Monday, 16 October 2017

Nyuma ya pazia kilichosababisha Waziri Mpina kupiga MNADA ng’ombe zaidi ya 1,000 kutoka Kenya


Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina ametoa agizo la kupigwa mnada ng’ombe zaidi ya 1,325 wanaodaiwa kuwa wametoka Kenya na kuingizwa Tanzania kinyume cha sheria huku mmiliki wake kutojulikana.

0 comments:

Post a Comment