Pages

Subscribe:

Thursday, 25 August 2016

Vigezo vilivyompa Ronaldo kuwa UEFA Best Player 2015/16 mbele ya Bale, Griezmann

Image for the news result
bale-griezmann-ronaldo-la-liga_3770088 

Alichokisema Mh.Mbatia juu ya vyama vya siasa na suala la UKUTA


Mbatia (1)    
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR Mageuzi Taifa, James Francis Mbatia (wa pili kushoto) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).

Hii ndio Sayari Inayoshabihiana na Dunia iliyoagunduliwa


_90889505_artwork_eso-mkornmesser 
Mchoro: Uzito wa sayari hiyo unadokeza huenda ikawa na mawe kmaa ailivyo Dunia
Wanasayansi wamegundua sayari ambayo inakaribia sana Dunia kwa mazingira na ukubwa wake na ambayo inazunguka nyota ijulikanayo kama Proxima Centauri, iliyo na mfumo unaokaribia zaidi mfumo wetu wa jua.

Miili ya Askari Waliouawa na Majambazi ilivyoagwa Dar


Waziri wa Wizara ya  Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akizungumza wakati wa  kuaga miili ya askari waliouawa katika eneo la Mbande, Temeke baada ya kuvamiwa na majambazi .Ibada hiyo ya kuaga  ilifanyika katika Viwanja vya  Polisi  vilivyopo  barabara ya Kilwa, jijini Dar es Salaam.

Zitto Kabwe afunguka yake kuhusu Oparesheni UKUTA


Zitto-Kabwe 

Wakati viongozi wa dini wakiendelea na jitihanda za kusaka suluhu kati ya upande wa Serikali na Chadema kuhusu namna ya kuzuia kwa amani kufanyika kwa Operesheni ya chama hicho iliyopewa jina la UKUTA, Septemba 1, Kiongozi Mkuu wa Chama Cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe ametoa maoni yake.

Hawa ndo Vijana Walioiba Baraghashia ya Mzee Akilimali


1-MZEE AKILIMALI
Mzee Ibrahim Akilimali maarufu kwa jina la Mzee Akilimali.

Ujio wa Mourinho umeleta athari gani kwa Rashford na Chipukizi wa Manchester United?

Ujio wa Mourinho umeleta athari gani kwa Rashford na Chipukizi wa Manchester United?
Zlatan Ibrahimovic ni Mfalme wa Manchester United, anaongoza kwa swaga, Pogba naye ni mnyama hatari, Je! kuna nafasi kwa watoto?

Sababu za JPM kumuapisha Mkurugenzi Mpya wa Usalama wa Taifa zatajwa.


1    
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.John Pombe Magufuli akimsikiliza Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa Dkt Modestus Francis Kapilimba akila kiapo cha maadili ya viongozi wa Umma Ikulu jijini Dar es salaam.

Hukumu Kesi ya Babu Tale Yaahirishwa Tena

BAB TALE (4)

Kingunge Awataka Mkapa na Mwinyi Wamshauri JPM Azungumze na Chadema


KINGUNGEALIYEKUWA kada wa CCM, Kingunge Ngombale Mwiru  amewaomba  marais wastaafu, Rais Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa kuzungumza na Rais John Magufuli ili aitishe kikao kati ya Serikali na Chadema kwa ajili ya kusitisha maandamano yaliyopangwa kufanyika Septemba Mosi.

Sababu za polisi kupiga Marufuku Mikutano ya Ndani ya Kisiasa baada ya polisi kuuawa Benk Dar


1 
KUFUATIA mauaji ya askari wanne yaliyotokea Kata ya Mbande Temeke kwa watu wanaodhaniwa ni majambazi kuvamia benki ya CRDB na kuwaua askari hao kwa kutumia silaha za moto jeshi la Polisi limetangaza kiama na kuwataka wahusika wote kujisalimisha.

Wednesday, 24 August 2016

Utata Kuhusu Mashahidi Watanda Kesi ya Tundu Lissu


Tundu-Lissu.jpg 
Mvutano kuhusu maelezo ya mlalamikaji katika kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu, baina ya mawakili wa upande wa  mashtaka na upande wa utetezi ulikwamisha usikilizwaji wa kesi hiyo.

Thursday, 18 August 2016

IGP Mangu Awaaga Askari 14 wa Kikosi Maalum cha Polisi (S.F.U).


1 (1)

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akimuuaga PC Prosper Yenda yenda wa kikosi maalum cha Jeshi la Polisi ( S.F.U) ambaye ni miongoni mwa askari 14 wanaokwenda nchini Jordan kwa kozi maalum ya kupambana na uhalifu na wahalifu.

Makubaliano ya Simba na MO Dewji Kuiendesha Simba kwa Mfumo wa Hisa

Makubaliano ya Simba na MO Dewji Kuiendesha Simba kwa Mfumo wa Hisa
August 15 2016 kamati ya utendaji ya Simba ilikutana na mfanyabiashara na mkurugenzi mtendaji mkuu wa makampuni ya Mohammed Enterprises Limited (MeTL) Mohammed Dewji  ambaye aliomba kununua asilimia 51 ya hisa za Simba kama mfumo ukibadilika na kuanza kuendeshwa klabu hiyo kwa hisa, leo August 17 Simba wametoa makubaliano yao walioafikiana katika kikao chao cha pamoja.

Rais Dkt Magufuli Ampatia Bajaji Mlemavu Thomas Kone Anayejituma


Hivi ndivo Alli kiba anavomzidi Diamondi kipato

KIBA (2)

Monday, 8 August 2016

Jose Mourinho afurahishwa na kiwango cha Eric Bailly

Eric Bailly
Kocha huyo wa Manchester United amemsifia Eric Bailly baada ya kuibuka nyota wa mchezo katika mechi ya Ngao ya Jamii dhidi ya Leicester City

Jose Mourinho: "Hatimaye tumempata Paul Pogba"

Jose Mourinho: "Hatimaye tumempata Paul Pogba"
Meneja wa Manchester United, Jose Mourinho amekiri kuwa "hatimaye" klabu yake imefanikiwa kuipata huduma ya Paul Pogba kutoka Juventus

Sunday, 7 August 2016

MAANA HALISI YA NDOTO UKIWA UMEKUFA AU MTU UNAE MFAHAMU


Maana ya ndoto ikiwa utaota umekufa wewe au mtu unae mfahamu

Ijue sababu ya mtoto wa Diamond, Tiffah kuvalishwa Hirizi


TIFFA2Mtoto wa Mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tiffah Dangote

IJUE TAFSIRI YA NDOTO JUU YA NG'OMBE


Ndoto ya Ng'ombe wa rangi nyekundu

 Kila mnyama katika ndoto hua ana maana yakehii ni tafsiri ya ng'ombe katika ndoto kama ifuatavyo;

Tatizo la kutokupevuka kwa mfumo wa uzazi


HALI hii hutokana na viungo vya uzalishaji wa vichocheo vya uimarishaji uzazi kwa mwanamke na mwanaume kutofanya kazi. Viungo au Glandi hizi ni korodani kwa mwanaume na ovari kwa mwanamke.

Rwanda na Burundi vitani Tena!


Nkurunzinza.jpg 
Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza.
UHUSIANO baina ya Burundi na Rwanda umeingia tena shubiri baada ya serrikali ya Burundi kuyazuia mabasi ya abiria kutoka nchini mwao kwenda Rwanda.

Mjue Waziri Mkuu aliyeuawa mitaani akitoka sinema kwa miguu


1984-file-picture-shows-swedens-prime-minister-olof-palme 
UNAWEZA usiamini; waziri mkuu wa nchi anauawa mitaani akiwa anatembea kwa miguu kutoka ukumbi wa sinema na mkewe!

Takukuru ilivyofafanua kuhusu rushwa ya Aveva


pic+aveva 
Rais wa Simba, Evans Aveva.
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), imefunguka rasmi sababu za kumshikilia na kumweka ndani Rais wa Simba, Evans Aveva.

LHRC Yampokea Mwanaharakati Geline Fuko


Geline Fuko (kushoto) akipokea maua kutoka kwa wafanyakazi wenzake wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC),ikiwa ni ishara ya kumpongeza baada ya kutua  Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), Dar es Salaam, akitokea Marekani alikokuwa akihudhuria mafunzo ya vijana wa kiafrika yaliyoandaliwa na Raisi Obama.

Hii ndio sababu ya Defao kukamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi


1399328 
IKIWA ni siku kadhaa baada ya mwanamuziki Koffi Olomide kufukuzwa nchini Kenya kwa kumpiga mnenguaji wake, Mwanamuziki mkongwe wa muziki wa Rhumba, raia wa Jamhuri ya Kidemokasia ya Kongo, Defao Matumona ‘General Defao’ leo amezuiliwa kwenye hoteli moja iliyopo

Hii ndio sababu ya Pogba kumzawadia Drake Jezi Yake ya Juve

Drake 2

Mtoto wa Obama Aondoka Ikulu, Aamua Kuwa Mhudumu wa Mgahawa

sasha obama (3)

DAWA KWA MATATIZO YA PRESHA

Kipimo cha kisasa cha matatizo ya presha

Jinsi Bodaboda walivyokaidi Agizo la RC Makonda



A

Taarifa juu ya maendeleo ya msanii Ray C…..


Usiku wa June 16 2016 kuamkia June 17 kuna video ya mwimbaji wa longtime Bongoflevani Rehema Chalamila au Ray C ilisambaa mitandaoni akiwa anachukuliwa na gari la Polisi Kinondoni Dar es salaam ambapo baadae ilikuja kugundulika alipelekwa Hospitali.

MAANA YA NDOTO KUHUSU NYOKA


Image result for NYOKA

Ikiwa umelala usingizi kisha ukaota ndoto ya nyoka hakika ya hiyo ndoto yako

Magazeti ya Tanzania August 7, 2016


MAANA YA NDOTO YA SAFARI KATIKA BARABARA NYOOFU

Ndoto ya safari katika barabara nyoofu

walichokisema Zitto na Ommy DImpoz juu ya uamuzi wa Yanga kukodishwa

IJUE MAANA YA NDOTO YA MWEWE.

Mwewe ni ndege maarufu kwa tabia yake ya uwindaji

IJUE MAANA YA NDOTO YA MBWA


Mbwa katika ndoto
Wakati mwingine ndoto huja moja kwa moja kumaanisha kile unachokiona au kukiota katika ndoto hiyo. 

Yanga katika maisha ya kufikirika:wamkodisha Manji timu kwa miaka 10

Yusuf Manji
Baada ya Mohammed Dewji kuonesha nia yake kuwekeza Simba, Yusuf Manji naye ameibuka na kutaka kupewa timu kwa muda wa miaka kumi

Ndoto ya haja kubwa na maana yake

  
KITENDO CHA KUJISAIDIA HAJA KUBWA
Mara nyingi ndoto huja kama fumbo au mfano ili kuelewa maana ya ndoto ulio ota yakulazimu ufahamu nini maana ya fumbo au mfano ulio uwona katika ndoto.

TIBA YA ASILIA KUZUIA UGONJWA WA KUHARA


Ugonjwa wa kuhara
Kuhara ni katika magonjwa mabaya ya tumboni ambayo huwapata binadamu na hata wanyama. Mgonjwa asipopatiwa dawa hudhofika kwa kipindi kifupi na hali hiyo ikishamiri humpelekea mgonjwa hata kupoteza maisha.

HII NDIO DAWA YA KUONDOA HARUFU MBAYA UKENI WAKATI WA TENDO LA NDOA


Kuondoa harufu mbaya 
Japo wengi wanazipuuza lakini Afrika bado tunajivunia miti shamba, tiba na dawa asili kutokana na uwezo wake wa kutibu bila kua na madhara kwa afya zetu. Penda afrika na ujivunie kua muafrika.

KARAFUU TANGAWIZI HUTIBU MENO KARAFUU TANGAWIZI HUTIBU MENO



Tangawizi

Rummenigge: I feel sorry for Schweini - but he's not returning to Bayern

Rummenigge: I feel sorry for Schweini - but he's not returning to Bayern
The midfielder has been deemed surplus to requirements at Manchester United, but the Bundesliga side's executive chairman insists they have not considered bringing him back

HII NDIO TIBA SAHIHI YA UGONJWA WA KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA!!!

~watu wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospital kupata tiba.

Kante: I told Hazard that Leicester City thanks him

Kante: I told Hazard that Leicester City thanks him
The Belgian scored the title-clinching goal to crown the Foxes Premier League champions as Tottenham's two-goal lead against Chelsea was cancelled out in May

Kocha wa Arsenal amtabiria mabaya Ibramovich

Wenger: Zlatan Ibrahimovic atapata wakati mgumu United sababu ya umri
Arsene Wenger amesema Zlatan Ibrahimovic ni mchezaji bora lakini umri wake utampa wakati mgumu Manchester United