Ugonjwa wa kuhara |
Mizizi ya Mbono ni dawa nzuri sana ya kukata ugonjwa wa kuharisha kwa aina yoyote ile.
Chukua ule mzizi mkuu wa mbono, ule unaoelekea chini katakata uloweke
kwenye maji safi na salama yaliyo vuguvugu kwa muda wa masaa 3.
MATUMIZI:
Kunywa glasi moja kwa kutwa mara 3, tumia dawa hii mpaka upone yaani uache kuhara.
0 comments:
Post a Comment