August 6 2016 Mfanyabiashara na mwenyekiti wa Yanga Yusuph Manji katika
mkutano mkuu na wanachama wa Yanga aliomba wanachama wamkodishie timu
ya Yanga na nembo ya klabu kwa kipindi cha miaka 10 kwa kigezo kuwa timu
imekuwa ikijiendesha kwa hasara na kuwa mwaka unaokuja itashindwa
kuepuka hasara ya bilioni 1.9, hivyo anaomba akodishiwe timu na mali za
klabu ziendelee kuwa chini ya klabu kama kawaida.
Baada ya Zitto kabwe na Ommy Dimpoz kusikia hilo wameandika haya kwenye kurasa zao za facebook na Instagram…..
0 comments:
Post a Comment